Leo Juni 5 Mpenja Tv tunakuletea Mahojiano Lukuki na kocha pamoja na Wachezaji wa timu ya Taifa ya Tanzania Taifa Stars baada ya mchezo wa kimataifa wa Niger dhidi ya Tanzania Kumalizika. . Mpenja Tv imekipokea kikosi cha Taifa Stars mapema Leo hii kwenye uwanja wa ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Terminal 2. . Fungua Video hii kupata Uhondo wote wa Habari hii. . #taifastars #kibudenis #georgempole
Leo Juni 14 Ally Kamwe,Kibwana,Job, na kamati nzima ya Wape Tabasamu wamezungumza kuelekea Mchezo wa Wape Tabasamu 2024 ambao utapigwa Mkoani Morogoro ukikutanisha Timu Kibwana Dhidi ya Timu Dickson Job kwenye Uwanja wa Jamhuri
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.