Singida Big Stars 0-1 Yanga | Highlights | Nusu Fainali ASFC 21/05/2023 by @Azam TV - Post Details

Singida Big Stars 0-1 Yanga | Highlights | Nusu Fainali ASFC 21/05/2023

Goli pekee la dakikaya 82 kutoka kwa Fiston Mayele limeipelekea Yanga fainali ya #AzamSportsFederationCup kwa kuitandika Singida Big Stars bao 1-0 katika mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Uwanja wa Liti, mkoani Singida. Tazama highlights....

Similar Posts!

Simba SC 1-0 Azam FC | Highlights | Fainali | CRDB Bank Federation Cup 04/07/2026
Simba SC 1-0 Azam FC | Highlights | Fainali | CRDB Bank Federation Cup 04/07/2026

Simba SC imenyakua Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Azam FC bao 1-0 katika mchezo wa fainali uliopigwa kwenye Dimba la Gombani Pemba. Goli pekee la ubingwa limefungwa Yahya Zayd ambaye amejifunga dakika ya 62.



JKT Tanzania 0-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026
JKT Tanzania 0-3 Yanga SC | Highlights | NBC Premier League 30/06/2026

Yanga SC imehitimisha msimu wa Ligi Kuuya NBC 2025/26 kwa kishindo, ikiichapa JKT Tanzania mabao 3-0 kwenye Dimba la Meja Jenerali Isamuhyo na kutwaa ubingwa wa tano mfululizo. Magoli yamefungwa na Prince Dube, Maxi Nzengeli na Laurindo Dilson Maria Depu.



Hat-trick ya Okello | Yanga SC 3-0 TRA United | NBC Premier League 27/06/2026
Hat-trick ya Okello | Yanga SC 3-0 TRA United | NBC Premier League 27/06/2026

Allan Okello 'Star Boy', amepiga magoli yote matatu #Hattrick , Yanga ikishinda 3-0 dhidi ya TRA United, mchezo wa raundi ya 29, Ligi Kuu ya NBC, uliopigwa KMC Complex, Dar es Salaam. Haya hapa magoli yote.



Yanga 3-0 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026
Yanga 3-0 Azam FC | Highlights | NBC Premier League 24/06/2026

Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Hii ni Ligi Kuu ya NBC, raundi ya 28 (bado mbili tu) Tazama highlights



Magoli | Yanga SC 3-0 Azam FC | NBC Premier League 24/06/2026
Magoli | Yanga SC 3-0 Azam FC | NBC Premier League 24/06/2026

Yanga SC imezidi kuusogelea ubingwa wa Ligi Kuu msimu huu, kwa kuwachapa Azam FC mabao 3-0 kwenye Uwanja wa Amaan Zanzibar. Magoli ya Yanga yamefungwa na Ibrahim Abdullah 'Bacca', Laurindo Dilson Depu, na Pacome Zouzoua. Haya hapa magoli yote...



Simba SC 4-0 Coastal Union | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Fed, Cup 20/06/2026
Simba SC 4-0 Coastal Union | Highlights | Nusu Fainali CRDB Bank Fed, Cup 20/06/2026

Mnyama Simba ametinga fainali ya Kombe la Shirikisho la CRDB Bank kwa kuichapa Coastal Union mabao 4-0 katika mchezo mchezo wa nusu fainali uliopigwa kwenye Dimba la Sheikh Amri Abeid, Arusha. Magoli ya mchezo huu yamefungwa na Libase Gueye, Nickson Kibabage, Rushine de Reuck kwa penati na Clatous Chama.



Mbeya City 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League - 17/06/2026
Mbeya City 0-1 Simba SC | Highlights | NBC Premier League - 17/06/2026

Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mchezo kati ya Simba SC dhidi ya Mbeya City ambapo Elie Mpanzu ndio amepeleka alama tatu unyamani. Simba imeshinda kwa goli 1-0 ndani ya dimba la Sokoine jijini Mbeya



Simba SC 2-1 Pamba Jiji | Highlights | NBC Premier League - 14/06/2026
Simba SC 2-1 Pamba Jiji | Highlights | NBC Premier League - 14/06/2026

#NBCPL: Tazama matukio yote muhimu yaliyojiri kwenye mechi ya NBC Premier League kati ya Simba SC dhidi ya Pamba Jiji FT: Simba SC 2-1 Pamba Jiji Magoli ya Simba yamefungwa na Elie Mpanzu na Libasse Gueye huku goli la Pamba Jiji likifungwa na Mathew Momanyi. #NBCPL #NBCPremierLeague #LigiKuuTanzania #ImenogaZaidi #SimbaVsPambaJiji #SimbaSC #PambaJiji #SimbaPamba