MC PETIT/ISSA AZAM WACHARUKA/"KIBU KAFUNGA GOLI 2/INONGA HAKUNA KAMA YEYE/YANGA WAMEJICHANGANYA" by @Mpenja TV - Post Details

MC PETIT/ISSA AZAM WACHARUKA/"KIBU KAFUNGA GOLI 2/INONGA HAKUNA KAMA YEYE/YANGA WAMEJICHANGANYA"

Leo tarehe 16/04/2023 Tanzania inashuhudia Mchezo tena Mchezo mkubwa Dabi ya Karikoo safari hii Mnyama Simba SC anamualika Mwananchi Young Africans kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Kumbukumbu nzuri Mchezo wa Kwanza Msimu huu uliowakutanisha Simba na Yanga ulitamatika kwa Sare 1-1 Agustin Okra akiingia kambani huku Aziz Ki akisawazisha kwa Mkwaju wa Mpira wa kutenga. Mpenja Tv tumefika Uwanjani kukuhabarisha wewe Mwana Michezo kabla na baada ya Mchezo huu kufika Tamati. Salia nasi kupata uhondo wote wa Dabi ya Kariakoo

Similar Posts!

ENG HERSI SAID AWAPA POLE JOB,KIBABAGE,MSHERY KWA KUIFUNGA MTIBWA/WAKATAFUTE ALAMA TATU KWINGINE
ENG HERSI SAID AWAPA POLE JOB,KIBABAGE,MSHERY KWA KUIFUNGA MTIBWA/WAKATAFUTE ALAMA TATU KWINGINE

Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.



ALLY KAMWE" NI TAISHANGILIA SIMBA NA AZAM KWA MARA YA KWANZA/ENG HERSI KAJA NA VITU VIZITO KU
ALLY KAMWE" NI TAISHANGILIA SIMBA NA AZAM KWA MARA YA KWANZA/ENG HERSI KAJA NA VITU VIZITO KU

Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar



ALLY KAMWE"JOBE NI HAALAND MTUPU/ANA MIKIMBIO NA MIDONDOKO/NIMEPENDEKEZA MSIMU UJAO AJE YANGA
ALLY KAMWE"JOBE NI HAALAND MTUPU/ANA MIKIMBIO NA MIDONDOKO/NIMEPENDEKEZA MSIMU UJAO AJE YANGA

Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.