Leo tarehe 16/04/2023 Tanzania inashuhudia Mchezo tena Mchezo mkubwa Dabi ya Karikoo safari hii Mnyama Simba SC anamualika Mwananchi Young Africans kwenye Dimba la Benjamin Mkapa. Kumbukumbu nzuri Mchezo wa Kwanza Msimu huu uliowakutanisha Simba na Yanga ulitamatika kwa Sare 1-1 Agustin Okra akiingia kambani huku Aziz Ki akisawazisha kwa Mkwaju wa Mpira wa kutenga. Mpenja Tv tumefika Uwanjani kukuhabarisha wewe Mwana Michezo kabla na baada ya Mchezo huu kufika Tamati. Salia nasi kupata uhondo wote wa Dabi ya Kariakoo
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.