DOKTA MO AUMIA ZIMBWE JR KWENDA YANGA/"NGOMA ANAIDAI SIMBA/MANGUNGU ATUACHIE TIMU YETU/TUMECHOKA" by @ALMAS DIGITAL - Post Details

DOKTA MO AUMIA ZIMBWE JR KWENDA YANGA/"NGOMA ANAIDAI SIMBA/MANGUNGU ATUACHIE TIMU YETU/TUMECHOKA"

Similar Posts!

IBRAHIM AMBOKILE: KOCHA FADLU HATOBOI CHRISTMAS| MSIMU UJAO NAMPA YANGA UBINGWA TENA
IBRAHIM AMBOKILE: KOCHA FADLU HATOBOI CHRISTMAS| MSIMU UJAO NAMPA YANGA UBINGWA TENA

“Simba waache kutafuta njia ya kuwakimbia Yanga,waje wacheze Ngao ya Jamii ili Ligi iendelee,tukianza ligi namna hii maana yake mbele kutakua na vipole vingi Fadlu alete timu matokeo watakayopata wayakubali tu,waache mpira wa kizamani ni ushamba huo” Ibrahim Ambokile 🗣️ Follow page yetu ya @almasdigitaltz ✍🏽 @jrmtungo Imedhaminiwa na @trustcars_motors na @premium_security_ltd #AlmasDigitalNews #AlmasDigitalUpdates



ARAFAT HAJI : TULIDHARAULIWA WAKATI TUNAINGIA KWENYE MPIRA | HATUJAWAHI KUYUMBISHWA KWA LOLOTE
ARAFAT HAJI : TULIDHARAULIWA WAKATI TUNAINGIA KWENYE MPIRA | HATUJAWAHI KUYUMBISHWA KWA LOLOTE

“hapa katikati kulikuwa na misemo maarufu hawana uzoefu hawaujui mpira, mpira unaware wake” Makamu wa Rais wa klabu ya Yanga @arafat__ah Mahojiano haya tumekuwekea katika YouTube channel yetu ya Almas Digital