Alichokisema Modewji Atoa Tamko zito kuhusu Miquissone kurudishwa Simba Dirisha Dogo la Usajili by @TOP5 MEDIA - Post Details

Alichokisema Modewji Atoa Tamko zito kuhusu Miquissone kurudishwa Simba Dirisha Dogo la Usajili

LUIS: WAMENIPA JINA "TIMU KUBWA SANA ILE" " Yes niliondoka kwa amani walinipa baraka zote kwahiyo Simba kwangu ni kama familia iliyonilea vizuri sana. Niliflka pale nikiwa na kipaji lakini sikuwa na jina kubwa, Waliniamini wakanipa nafasi nikaonyesha nilichonacho. Naweza sema kwangu walikuwa walezi bora. Unajua Simba ni timu kubwa sana kwenye ukanda ule wa cecafa kwahiyo ukicheza Simba na wakakuamini ni jambo la kujivunia sana, Yes ndiyo timu niliyoichezea kwa mafanikio Wamenifanya Nicheze Makundi na Robo fainal ya Caf Champions League Sikuwa nimecheza kabla kwahiyo walinipa kitu kipya kwenye maisha yangu ya soka, Kuhusu pengo langu kuzibika pale inawezekana tu kwasababu mimi sio mchezaji bora wa Muda wote pale Simba inamaana kuna watu Walipita na mimi nilipoenda nikaziba nafasi zao " Kwahiyo naamini kama walikuwa na jicho la kunioná mimi na kunisajili basi mpaka sasa washasajili mchezaji wa kuziba pengo langu na huwenda akatimiza majukumu ya Simba vizuri kuliko hata mimi. Simba ninfamilia yangu najua mashabiki wananipenda na watanipokea ikitokea nataka kurudi,naamini nitarudi Simba siku moja". Maneno ya Luis, mchezaji wa Al Ahly #simbasc #luismiquissone #yangasc #usajilisimbasc #usajiliyangasc #usajili #dirishakubwalausajili #azamtv #fifa #cas #modewji #hajimanara #yusuphmanji #usajli #kikosichasimbaleo #simbaleo #ligikuutanzania #simba #usajiliyangasc #yanga #ligikuu #tanzania #simba #yangaleo #usajilisimbaleo #ligikuu #chama #miquissone #kisinda #mukoko #caf #tff #SIMBASC #YANGASC #SIMBA #LIGIKUUTANZANIA #ligiyamabingwaafrica #Africa #tanzania

Similar Posts!

SIMBA KUVUNJA MKATABA WA MOHAMED BAJABER #shorts #youtubeshorts #short #shortvideo
SIMBA KUVUNJA MKATABA WA MOHAMED BAJABER #shorts #youtubeshorts #short #shortvideo

SIMBA Watoa Tamko Zito Muda Huu Kuhusu KUVUNJA MKATABA wa MCHEZAJI Huyu WAKIMATAIFA, Sababu Zatajwa



SIMBA YAVUNJA MIKATABA YA WACHEZAJI 5 LEO #shorts #youtubeshorts #short #trendingshorts #shortvideo
SIMBA YAVUNJA MIKATABA YA WACHEZAJI 5 LEO #shorts #youtubeshorts #short #trendingshorts #shortvideo

Alichokisema BEKI Kitasa WILSON NANGU Athibitisha KUSAJILIWA SIMBA Dirisha Kubwa la Usajili 2025



KIKOSI KIPYA CHA YANGA MSIMU MPYA WA 2025/2026 #youtubeshorts #trendingshorts #shorts
KIKOSI KIPYA CHA YANGA MSIMU MPYA WA 2025/2026 #youtubeshorts #trendingshorts #shorts

Alichokisema FEISAL SALUM "FEI TOTO" Athibitisha KUSAJILIWA Timu Hii Kubwa, Aitaja SIMBA, YANGA JE?



FISTON MAYELE ATHIBITISHA KUSAJILIWA TIMU HII KUBWA TANZANIA #youtubeshorts #trendingshorts #shorts
FISTON MAYELE ATHIBITISHA KUSAJILIWA TIMU HII KUBWA TANZANIA #youtubeshorts #trendingshorts #shorts

Alichokisema FEISAL SALUM "FEI TOTO" Athibitisha KUSAJILIWA Timu Hii Kubwa, Aitaja SIMBA, YANGA JE?



MOHAMED HUSSEIN KUONDOKA SIMBA SC #shortvideo #shorts #youtubeshorts
MOHAMED HUSSEIN KUONDOKA SIMBA SC #shortvideo #shorts #youtubeshorts

Alichokisema ELLIE MPANZU Atoa Tamko Zito Kuhusu Kuondoka SIMBA SC Dirisha Kubwa la Usajili



AZIZ KI ATOA TAMKO ZITO KUHUSU KUONDOKA WYDAD #youtubeshorts #shortvideo #trendingshorts #shorts
AZIZ KI ATOA TAMKO ZITO KUHUSU KUONDOKA WYDAD #youtubeshorts #shortvideo #trendingshorts #shorts

Kikosi cha Yanga Kinachoanza Leo Dhidi ya Singida Black Star Mechi ya Fainali Kombe la CRDB 2024/25