AHMED ALLY KINYONGE AKIRI UTOFAUTI WA ALAMA 10 NA YANGA NI MKUBWA/BADO LIGI MBICHI/ORLANDO WAJIANDAE by @Mpenja TV - Post Details

AHMED ALLY KINYONGE AKIRI UTOFAUTI WA ALAMA 10 NA YANGA NI MKUBWA/BADO LIGI MBICHI/ORLANDO WAJIANDAE

Baada ya Kulazimishwa Suluhu Tasa na Polisi Tanzania Mabingwa Watetezi Wa Ligi Kuu ya NBC Simba SC wamerejea Dar es Salaam wakitokea Kilimanjaro Usiku Huu Baada ya Kutua Uwanja Wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere Meneja Habari na Mawasiliano wa Simba SC Ahmed Ally Amesema kwa Sasa Wanaelekeza akili Zao katika Mchezo Wa Robo Fainali ya Kombe la Shirikisho Barani Afrika dhidi ya Orlando Pirates April 17 Uwanja Wa Benjamin Mkapa huku Akikubali Kuwa Utofauti Wa Alama na Vinara Wa Ligi Yanga Ni Mkubwa Lakini Bado Kuna Mechi Nyingi Hivyo Mbio Za Ubingwa Zinaendelea #MpenjaTV #SimbaSC #AhmedAlly

Similar Posts!

MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.
MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com



FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"
FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com