Baada ya mechi ya mkondo wa kwanza wa raundi ya kwanza ya ligi ya Mabingwa Afrika kati ya Jwaneng Galaxy na Simba SC kumalizika kwa Mnyama kushinda 2-0 Uwanja wa Taifa wa Botswana, mjini Gaborone, Mpenja TV tumezungumza na Mchambuzi Ally Mayay Tembele tukitaka kujua maoni yake juu ya Mtanange huo. #JwanengGalaxyVsSimbaSC #SimbaSC #MpenjaTV
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com