Leo March 08 2023,Yanga SC anamkaribisha AS Real Bamako kutoka Nchini Mali Katika Dimba la Benjamin Mkapa,kwenye Mchezo wa Kundi D wa Kombe la Shirikisho Afrika, Mchezo Unaochezwa Saa Moja Jioni.
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com