KISA KUDAKA PENATI YA BOCCO GOLIKIPA/WACHEZAJI BIASHARA UNITED WAMWAGIWA MIHELA/KULAMBA MILIONI 10 by @Mpenja TV - Post Details

KISA KUDAKA PENATI YA BOCCO GOLIKIPA/WACHEZAJI BIASHARA UNITED WAMWAGIWA MIHELA/KULAMBA MILIONI 10

Mkuu wa mkoa wa Mara, Ally Hapi, amewamwagia minoti Golikipa wa Biashara United, James Ssetuba na wachezaji wenzake baada ya kutoka Suluhu (0-0) na Simba SC katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliochezwa Septemba 28, 2021 Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Musoma, Mara. RC Ally Hapi pia ameahidi kuwapatia Shilingi milioni 10 wachezaji wa Biashara United ambazo watachukua leo Septemba 29, 2021.

Similar Posts!

MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.
MPENJA AUKATAA UNAFIKI KWEUPE! AFUNGA MJADALA WA CHAMA NA OKELLO/AISIFIA YANGA KWA UJENZI WA UWANJA.

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com



FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"
FEI TOTO: "CHAMA ALIFUNGA GOLI ZURI SANA/MIMI MWENYEWE NIMELIPENDA"

JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ŸŒ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐Ÿ”ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐Ÿ“ž SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐Ÿ“ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com