Mkuu wa mkoa wa Mara, Ally Hapi, amewamwagia minoti Golikipa wa Biashara United, James Ssetuba na wachezaji wenzake baada ya kutoka Suluhu (0-0) na Simba SC katika mchezo wa ligi kuu soka Tanzania bara uliochezwa Septemba 28, 2021 Uwanja wa Kumbukumbu ya Karume, Musoma, Mara. RC Ally Hapi pia ameahidi kuwapatia Shilingi milioni 10 wachezaji wa Biashara United ambazo watachukua leo Septemba 29, 2021.
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com