Hii ni kutoka Ulipo Uwanja wa Azam Complex,Chamazai ambako inachezwa Mechi ya Ligi Kuu ya NBC kati ya Yanga Sc ambao ni Wenyeji wa Mechi hiyo wakiikaribisha Geita Gold. Na hivi ndivyo Hali ilivyo Nje ya Uwanja huo,Kupitia Mpenja Tv tunahakikisha tunakuletea Mfululizo wa Matukio ya Kabla na Baada ya Mechi hiyo
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! 🌍 Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! 🔴 TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 📞 SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 📧 EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com