Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Yanga SC,Ally Kamwe ameeleza hali ya Timu ilivyo,mipango yao kwenye Michezo ya ligi kuu iliyobaki pamoja na Usajili walioufanya kwenye Dirisha dogo
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar