Leo Novemba 2,2023 Meneja wa Habari na Mawasiliano wa Simba SC, Ahmed Ally ameeleza maandalizi yao kuelekea Mchezo wa Ligi kuu ya NBC dhidi ya Yanga SC, utakaochezwa Dimba la Benjamin Mkapa,Saa 11 Jioni. Aidha Ahmed amesema mpango wao siku ya Jumapili ni kuhakikisha wanaujaza Uwanja wa Benjamini Mkapa kwa asilimia kubwa zaidi ya Watani wao. Pia ametoa Mchakato mzima wa Uuzwaji wa Tiketi.
Leo Mei 13,2024 Mtibwa Sugar inashuka Dimba la Manungu Turiani kumenyana na Yanga SC katika mchezo wa ligi kuu ya NBC,,Saa 10 jioni.
Leo May 08,2024 katika uwanja wa Azam complex kutachezwa mchezo mmoja wa NBC PREMIER LEAGUE ambao utazikutanisha Yanga SC dhidi ya Kagera Sugar
Meneja Habari na Mawasiliano wa klabu ya Yanga Ally Kamwe, amezungumza na Mpenja TV na kuelezea Mipango ya Timu yake kuelekea katika Mchezo wa CRDB Federation Cup Dhidi ya Dhidi ya Tabora United Mchezo ambao utachezwa May 1,2024 katika uwanja wa Azam Complex Pia Ally Kamwe amegusia kuhusu tetesi za Mchezaji wao Pacome Zouzoua na kuweka wazi kinachoendelea mpaka sasa.