Semaji la Wananchi Ally Kamwe ameonyesha Mfano wa kuvaa kama Aziz Ki kwa Mashabiki wa Yanga kuelekea Key Day Tarehe 30 Sep ndani ya Azam Complex. Pia ameeleza muitikio wa Mashabiki wa Yanga ulivyo mkubwa juu ya Key Day. Kamwe amewataka wapinzani kuacha kuwazungumzia kwani wao hawana muda wa kuwajibu bali ni kuwasikiliza tu. Hakuacha kutupa Dongo kwa Watani kuwa baada ya Mchezo dhidi ya Al-Merrikh watafanya Sherehe kubwa kuonyesha namna ya kushangilia kuingia hatua ya Makundi
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com
JE, UNA JAMBO LAKO? USILIFICHE! ๐ Kuwa wa kwanza kutujuza habari, matukio, au matangazo kupitia MPENJA TV. Sisi tupo hapa kwa ajili yako! ๐ด TUPIGIE/WHATSAPP: +255 748 101 101 ๐ SIMU: +255 686 816 895 | +255 686 715 249 ๐ง EMAIL: mpenjatvtz@gmail.com