Simba Sc Vs ihefu Leo kipind cha kwanza kinaisha Kwa Goli Tatu Kwa sifuri DHIDI ya ihefu Ligi kuu nchini Tanzania #VPL #Simba #Ihefu #AzamSport2HD LIVE #AzamSports1HD #LigiKuuTanzaniaBara #VPLUpdates #VPL #VodacomPremierLeague #SimbaSC #KMCFC #KinoBoys #SSC #SimbaKMC #youtubeShorts
Mechi iliyochezwa katika uwanja wa jamhuri mjini Dodoma Simba wanachukua point tatu muhimu kutoka Kwa wenyeji wao Dodoma Kwa Ushindi wa Goli 1-2. Chini ya Kocha wao mpya katika ligi kuu Tanzania bara.
Mechi ya kirafiki Kati ya Taifa stars DHIDI ya DR Congo siku ya Jana ilitoka draw Kwa kufungana 1-1. Mechi iliyochezwa katika uwanja WA Mkapa
Mechi ya kirafiki #tanzania #drc
#Simba Sc Vs #Namungo_ 2-0 Mapinduzi cup, Ona Simba wakiwacharaza Namungo mapemaa
73: Azam FC 1-0 Malindi SC ⚽️Agrey #MapinduziCup2021 @azamfc @tplboard @wallacekaria #AzamHD
Simba sasa wanaendeleza ubabe wake Kwa kuichapa fc platinum goli NNE Kwa sifuri. sasa Simba Sc wanakuwa vinara WA group diamond platnumz,simba,john pombe magufuli,simba sc vs platnumfc