Content removal request!


Magoli ya Simba Sc VsDodoma Jiji ( 2-1) Mechi ya Jana Katika uwanja wa Jamuhuri Dodoma

Mechi iliyochezwa katika uwanja wa jamhuri mjini Dodoma Simba wanachukua point tatu muhimu kutoka Kwa wenyeji wao Dodoma Kwa Ushindi wa Goli 1-2. Chini ya Kocha wao mpya katika ligi kuu Tanzania bara.