PLAY-OFF: Mbeya City leo watakuwa kibaruani ndani ya mji wa Kigoma kule ‘mwisho wa reli’ kumenyana na Mashujaa FC kupambania nafasi ya kusalia Ligi Kuu (NBC Premier League) ndani ya dimba la Lake Tanganyika. Huu ni mchezo wa mkondo wa kwanza kabla ya timu hizo kurudiana tena…
Mashabiki wa MASHUJAA FC alivyotimba katika Dimba kwenda kuwakabili MBEYA City.
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vijana U20 #U20PremierLeague Mtibwa Sugar, wameianza kazi ya kutetea taji lao kwa karipio ...
Mabingwa watetezi wa ligi kuu ya vijana U20 #U20PremierLeague Mtibwa Sugar, wameianza kazi ya kutetea taji lao kwa karipio ...
Kwa story zaidi za kimichezo, matukio, vicheko na vilio vya kispoti tufuatilie kupitia Mitandao ya kijamii hii : ▻JOIN OUR ...
Taifa Stars iko kwenye harakati za kuwania kufuzu kwa miachuano ya AFCON na mwishoni mwa wiki ilipata ushindi wa 1-0 ...
Timu ya Mashujaa FC ya Kigoma kutoka ligi ya Championship imeitandika Mbeya City kutoka Ligi Kuu ya NBC mabao 3-1 katika ...
Ungana nasi katika kuyang'amua yaliyojiri kwenye ulimwengu wa michezo. U LIVE ni kila siku kuanzia saa 10:00 jioni hadi saa ...