Simba SC vs Coastal Union ni mchezo wa fainali kwa Mnyama, kwasababu wanasaka kombe lengine la 'Mfungaj.. for Simba - Coastal Union game - Post Details

Simba SC vs Coastal Union ni mchezo wa fainali kwa Mnyama, kwasababu wanasaka kombe lengine la 'Mfungaj by @Abissay Stephen Jr - eDayFm

Simba SC vs Coastal Union ni mchezo wa fainali kwa Mnyama, kwasababu wanasaka kombe lengine la 'Mfungaji bora' baada ya kupata kombe la 'Kuifunga Yanga SC' msimu huu. Hivi vitu vina maana kwa mashabiki lakini ni baada ya kukosa makombe yote. Nani kuwa Topscorer Ligi Kuu NBC TZ?

Similar Posts!

Simba 3-1 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 09/06/2023
Simba 3-1 Coastal Union | Highlights | NBC Premier League 09/06/2023

Simba imeichapa Coastal Union mabao 3-1 katika mchezo wa kuhitimisha msimu 2022/23 uliopigwa kwenye dimba la Uhuru, ...



SIMBA SIO WAKUSHANGILIA KIATU/JOHN BOCCO NI MFUNGAJI BORA/SAIDO NI MCHEZAJI  HATARI TANZANIA.
SIMBA SIO WAKUSHANGILIA KIATU/JOHN BOCCO NI MFUNGAJI BORA/SAIDO NI MCHEZAJI HATARI TANZANIA.

Mechi ya Simba Sc dhidi ya Coastal Union imetamatika kwa Ushindi kwenda kwa Simba Sc Kwa Jumla ya Holi 3-1 Huku habari ...



"SAIDO MFUNGAJI BORA/MAYELE KASAFIRISHWA/SIWAPI PONGEZI YANGA/MSIMU UJAO KITAWAKA"-HABIB SIMBA
"SAIDO MFUNGAJI BORA/MAYELE KASAFIRISHWA/SIWAPI PONGEZI YANGA/MSIMU UJAO KITAWAKA"-HABIB SIMBA

Mechi ya Simba Sc dhidi ya Coastal Union imetamatika kwa Ushindi kwenda kwa Simba Sc Kwa Jumla ya Holi 3-1 Huku habari ...