AZAM FC vs POLISI TZ: Hawa hapa makocha wasaidizi wa Azam FC (@agreymorisambros) na John Tamba wa Polisi Tanzania pamoja na manahodha wa vilabu hivyo wakizungumza kuelekea mechi yao ya kesho ya NBC Premier League ambayo ni ya kufunga msimu wa 2022/23 #NBCPremierLeague…
Yanga U20 na Polisi Tanzania U20 wametoshana nguvu kwa sare ya bao 1-1 , mchezo wa mwisho wa kundi katika Ligi Kuu ya ...
Tazama highlights za mechi kati ya Azam FC dhidi ya Polisi Tanzania ambapo vijana wa Chamazi wameleka kilio cha mabao 8-0 ...
Fiston Mayele amefunga la kwanza dakika ya 33 na Yannick Bangala akitokea benchi akafunga la pili dakika ya 90, Yanga ...
Prince Dube amefunga magoli manne dakika ya 8, 15, 28 na 56; Idd Nado akifunga mawili dakika ya 40 na 75, Kipre Jr. goli lake ...
Fiston Mayele amefunga la kwanza dakika ya 33 na Yannick Bangala akitokea benchi akafunga la pili dakika ya 90, Yanga ...
Shughuli inafanyika kwenye Dimba la Sokoine jijini Mbeya baada ya mchezo dhidi ya Tanzania Prisons uliomalizika kwa ushindi ...