#TRAINING Timu ya ushindi mazoezini leo Jumamosi, tukijiandaa na mchezo ujao wa ligi dhidi ya Ihefu. Mchezo huo wa ligi, utafanyika Uwanja wa Azam Complex Jumatatu hii saa 1.00 usiku. @Yusufbakhresa @AbdukarimAmin #weareazamfc #timuborabidhaabora
Goli pekee la Prince Dube dakika ya 55 limeipa Azam FC ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Ihefu SC katika mchezo wa ...