Bongo5's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

Rekodi ya Simba SC dhidi ya Azam FC hatari
Rekodi ya Simba SC dhidi ya Azam FC hatari

Rekodi ya Simba SC dhidi ya Azam FC ni ya kuvutia baada ya kukutana mara 29, katika mashindano yote Ligi Kuu , Kombe la Mapinduzi, Azam Sports Federation Cup, Kombe la Kagame, Kombe la Ujirani Mwema, Kombe la Banc ABC Super 8 na Ngao ya Jamii. Simba SC imeshinda mara 13 ikiwa ni pamoja na leo, Azam FC ikishinda 10 na mechi 6 zikimalizika kwa sare.



Simba SC 2 - 0 Kagera Sugar Vodacom Premier League
Simba SC 2 - 0 Kagera Sugar Vodacom Premier League

Ligi Kuu soka Tanzania Bara imeendelea hii leo katika Uwanja wa Kaitaba Mkoani Kagera, klabu ya Simba imechomoza na ushindi wa mabao 2 – 0 dhidi ya Kagera Sugar.



Mudathir Yahya wa Singida United aeleza siri ya ushindi dhidi ya Mbao
Mudathir Yahya wa Singida United aeleza siri ya ushindi dhidi ya Mbao

Nahodha wa timu ya Singida United inayodhaminiwa na kampuni ya michezo ya kubashiri SportPesa, Mudathir Yahya amedai wameshinda mchezo wao dhidi ya Mbao FC baaba ya kufanya marekebisho ya mchezo wao uliopita ambao walifungwa. Katika mchezo huo uliochezeka katika Uwanja wa Jamhuri Dodoma, Singida iliondoka na ushindi wa goli mbili kwa moja dhidi ya Mboa Fc.




« Previous


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports