Dream Online Tv's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
UCHAMBUZI MAKINI WA KIWANGO CHA WACHEZAJI WAPYA WA SIMBA VS MAZEMBE"Lwanga Bonge La Mchezaji"
TAKWIMU ZA KIBABE ZA SIMBA SC VS MAZEMBE "pasi zaidi ya 300"Simba Walistahili KUSHINDA.
UCHAMBUZI WA KIKOSI CHA SIMBA KINACHOELEKEA KIMATAIFA BAADA YA KUTOKA SULUHU NA TP MAZEMBE"Simba wako vizuri sana"
TAZAMA MAGOLI 7 YA CHIKWENDE ALIYOYAFUNGA LIGI YA MABINGWA HIVI KARIBUNI IKIWEMO SIMBA
WACHAMBUZI WA SOKA WAIPA SIMBA 5 KWA KUMNASA CHIKWENDE
SIMBA SC KUTANGAZA JAMBO KUBWA SAA 6 MCHANA HUU,KOCHA MKUU,AU MCHEZAJI MWINGINE?
Breaking News *Perfect Chikwende rasmi mali ya SIMBA SC* *Amesigh kandarasi ya miaka miwili kuitumikia klabu hiyo* *Hadi muda huu Klabu ya SIMBA imetangaza usajili wa Wachezaji wawili wa KIMATAIFA* *TADEO LWANGA* *PERFECT CHIKWENDE*
Taarifa kutoka Zimbabwe 👉 Azam FC ilipeleka ofa kunako FC Platinum wakiomba huduma za Chikwende. Platinum wakataka Tsh 116m 👉 Simba SC wakapeleka ofa yao ya Tsh 127m. Chikwende ameondoka jana Zimbabwe Yupo Tanzania Msemaji wa FC Platinum Chido Chizondo amethibitisha suala la kumzuia Perfect Chikwende kuondoka lisingewezekana 🗣️ "Bado haijathibitishwa ni timu gani, Ila kwa sasa tunaweza kuthibitisha kuwa anaenda Tanzania" 🎯 Taarifa za kuaminika, Perfect Chikwende anaelekea kujiunga Simba.