STORY ZOTE's user profile page. Match highlights, posts and more on site!“” Report User |
SIMBA SC WAWASILI KIBABE LUBUMBASHI, MAZOEZI YA MWISHO HOFU TP MAZEMBE #SimbaSc #Lubumbashi #TPmazembe #DRC
Shabiki wa Klabu ya Soka ya Simba Bwana Ramadhan Mohamed ambaye alikwenda Dar es Salaam akitokea Jijini Mbeya kwa miguu ili ashuhudie mchezo wa robo fainali ya #CAFCL kati ya Simba SC dhidi ya TP Mazembe kutoka DRC, leo amekutana na viongozi, wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi na sekretarieti ya Klabu ya Soka ya Simba ambapo amehaidiwa kugharamiwa na klabu ya Simba kwenda Lubumbashi nchini DRC, kwaajili ya kuangalia mchezo wa marudiano kati ya TP Mazembe dhidi ya Simba SC ambao utachezwa Jumamosi hii. #NguvuMoja #SimbaSc #YesWeCan #HajiManara
Mvua Kubwa iliyozuia Mechi ya SIMBA SC na JKT Tanzania leo. Uwanja wa Jamuhuri Mjini Morogoro wajaa MAJI kutokana na Mvua kubwa iliyonyesha na kufanya Mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba na JKT Tanzania siku ya leo kuhairishwa. Morogoro
KIKOSI CHA SIMBA SC vs JKT TANZANIA LEO #SIMBAvsJKTTanzania #TPL #YesWeCan #NguvuMoja
Tshabalala, Kocha Patrick Aussems Mbao Fc hatoki kwa Simba Sc Jamuhuri leo #Tshabalala #PatrickAussems #KochaPatrickAussems