STORY ZOTE's user profile page. Match highlights, posts and more on site!

“”

 Report User

Highlights

Hii ndio Ofa aliyopata shabiki wa Simba aliyetembea kwa Mguu kutoka Mbeya
Hii ndio Ofa aliyopata shabiki wa Simba aliyetembea kwa Mguu kutoka Mbeya

Shabiki wa Klabu ya Soka ya Simba Bwana Ramadhan Mohamed ambaye alikwenda Dar es Salaam akitokea Jijini Mbeya kwa miguu ili ashuhudie mchezo wa robo fainali ya #CAFCL kati ya Simba SC dhidi ya TP Mazembe kutoka DRC, leo amekutana na viongozi, wajumbe wa Bodi ya Wakurugenzi na sekretarieti ya Klabu ya Soka ya Simba ambapo amehaidiwa kugharamiwa na klabu ya Simba kwenda Lubumbashi nchini DRC, kwaajili ya kuangalia mchezo wa marudiano kati ya TP Mazembe dhidi ya Simba SC ambao utachezwa Jumamosi hii. #NguvuMoja #SimbaSc #YesWeCan #HajiManara



Mvua Kubwa ilivyozuia Mechi ya SIMBA SC na JKT Tanzania leo
Mvua Kubwa ilivyozuia Mechi ya SIMBA SC na JKT Tanzania leo

Mvua Kubwa iliyozuia Mechi ya SIMBA SC na JKT Tanzania leo. Uwanja wa Jamuhuri Mjini Morogoro wajaa MAJI kutokana na Mvua kubwa iliyonyesha na kufanya Mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba na JKT Tanzania siku ya leo kuhairishwa. Morogoro



KIKOSI CHA SIMBA SC vs JKT TANZANIA LEO
KIKOSI CHA SIMBA SC vs JKT TANZANIA LEO

KIKOSI CHA SIMBA SC vs JKT TANZANIA LEO #SIMBAvsJKTTanzania #TPL #YesWeCan #NguvuMoja



SIMBA SC vs MBAO FC LEO
SIMBA SC vs MBAO FC LEO

Kabla ya Mechi SIMBA SC vs MBAO FC leo



Tshabalala, Patrick Aussems Mbao Fc HAWATOKI kwa Simba Sc Jamuhuri leo
Tshabalala, Patrick Aussems Mbao Fc HAWATOKI kwa Simba Sc Jamuhuri leo

Tshabalala, Kocha Patrick Aussems Mbao Fc hatoki kwa Simba Sc Jamuhuri leo #Tshabalala #PatrickAussems #KochaPatrickAussems




« Previous Next »


User Detail Page

You can find user latest posts and related content on the page. Friends, comments for events / matches are also available on the page. Even you can find users who are same pleasure with current user.

#Travel, #SupportYourTeam, #AllAboutSports