Mvua Kubwa ilivyozuia Mechi ya SIMBA SC na JKT Tanzania leo
Mvua Kubwa iliyozuia Mechi ya SIMBA SC na JKT Tanzania leo. Uwanja wa Jamuhuri Mjini Morogoro wajaa MAJI kutokana na Mvua kubwa iliyonyesha na kufanya Mechi ya Ligi Kuu Tanzania Bara kati ya Simba na JKT Tanzania siku ya leo kuhairishwa. Morogoro