VICTORIAN ADEBAYOR (26) ATAVUNJA MKATABA NA RS BERKANE KAMA KILA KITU KITAENDA SAWA NA ๐ฆ
โ
Berkane tayari wamewasha taa ya kijani kumuachia kwasasa yupo Tanzania na timu yake ya Niger muda wowote atakutana na viongozi wa simba kwenye Hotel waliyofikia kwaajili ya mazungumzo.