SIMBA SC 3-0 MTIBWA SUGAR: HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 16/05/2019)
SIMBA SC 3-0 MTIBWA SUGAR: HIGHLIGHTS & INTERVIEWS (TPL - 16/05/2019)

Mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Tanzania Bara wamerejea kileleni mwa msimamo wa ligi hiyo baada ya leo kupata ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar, kwenye Dimba la Uhuru Dar es Salaam. Walioitafuna miwa ya Mtibwa kwenye mchezo huo uliokuwa mzuri na wa kuvutia, ni John Bocco dakika ya 33, Clatous Chama dakika ya 48 na Emmanuel Okwi dakika ya 56. Ushindi huo umefanya Simba ifikishe pointi 85 na kukaa kileleni mwa msimamo wa ligi ikiwaacha Yanga kwenye nafasi ya pili wakiwa na pointi 83 wakati Mtibwa Sugar wakisalia kwenye nafasi ya tano na pointi 49.



MASHABIKI SIMBA Walivyokula KIPORO Hadharani "VYURA Wajipange"
MASHABIKI SIMBA Walivyokula KIPORO Hadharani "VYURA Wajipange"

MASHABIKI SIMBA Walivyokula KIPORO Hadharani "VYURA Wajipange" MASHABIKI wa Simba wamefurahia ushindi wao dhidi ya Mtibwa Sugar mechi ambayo imepigwa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kuibuka na ushindi mabao 3-0. Mabao ya Simba yamefungwa na John Bocco, Okwi na Chama katika kipindi cha kwanza na cha pili. Simba wanafikisha jumla ya pointi 84 wakiwa wamefunga jumla ya mabao 72 huku kinara wa upachikaji wa mabao akiwa ni Meddie Kagere mwenye mabao 20 kwa sasa ligi kuu Bara. Simba imebakiwa na michezo minne ili kukamilisha mzunguko wa pili msimu huu ambapo mpaka sasa wamebakiza pointi tano ili kuweza kutetea ubingwa wao. #MASHABIKISIMBA https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



TETEMA Yanogesha SHANGWE la Mashabiki wa SIMBA Hatari!!
TETEMA Yanogesha SHANGWE la Mashabiki wa SIMBA Hatari!!

TETEMA Yanogesha SHANGWE la Mashabiki wa SIMBA Hatari!! MASHABIKI wa Simba wamefurahia ushindi wao dhidi ya Mtibwa Sugar mechi ambayo imepigwa katika uwanja wa Uhuru jijini Dar es Salaam na kuibuka na ushindi mabao 3-0. Mabao ya Simba yamefungwa na John Bocco, Okwi na Chama katika kipindi cha kwanza na cha pili. Simba wanafikisha jumla ya pointi 84 wakiwa wamefunga jumla ya mabao 72 huku kinara wa upachikaji wa mabao akiwa ni Meddie Kagere mwenye mabao 20 kwa sasa ligi kuu Bara. Simba imebakiwa na michezo minne ili kukamilisha mzunguko wa pili msimu huu ambapo mpaka sasa wamebakiza pointi tano ili kuweza kutetea ubingwa wao. #MASHABIKISIMBA https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



Kagere, Okwi na Bocco Wapongezwa na Kocha wa Simba
Kagere, Okwi na Bocco Wapongezwa na Kocha wa Simba

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars Twitter: https://twitter.com/kidanistars



KOCHA MTIBWA SUGAR - "Tumefungwa Magoli ya Aina Moja"
KOCHA MTIBWA SUGAR - "Tumefungwa Magoli ya Aina Moja"

KOCHA MTIBWA SUGAR - "Tumefungwa Magoli ya Aina Moja" JOHN Bocco nahodha wa Simba leo amefunga bao lake la 15 kwenye ligi kuu Bara kwenye ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo uliochezwa uwanja wa Uhuru akimalizia pasi ya Meddie Kagere dakika ya 33. Bao lake la leo linakamilisha jumla ya mabao 113 kwenye soka hali inayomfanya azidi kuwa mshambuliaji mwenye urafiki na nyavu kwa bongo. Mabao mengine ya Simba leo yamefungwa na mwamba wa Lusaka, Clatous Chama dakika ya 48 baada ya mabeki wa Mtibwa Sugar kujichanganya na bao la tatu limepachikwa na Emmanuel Okwi dakika ya 56. Ushindi huo unairejesha Simba kileleni kwa kuishuhsa Yanga ambayo ilikuwa kileleni baada ya kufikisha jumla ya pointi 83 huku Simba ikifikisha jumla ya pointi 85. Simba wanafikisha jumla ya pointi 84 wakiwa wamefunga jumla ya mabao 72 huku kinara wa upachikaji wa mabao akiwa ni Meddie Kagere mwenye mabao 20 kwa sasa ligi kuu Bara. Simba imebakiwa na michezo minne ili kukamilisha mzunguko wa pili msimu huu ambapo mpaka sasa wamebakiza pointi tano ili kuweza kutetea ubingwa wao. #SIMBAVsMTIBWA https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



KOCHA SIMBA "OKWI KAGERE Wameshindwa Kutumia Nafasi Tumepata Nyingi"
KOCHA SIMBA "OKWI KAGERE Wameshindwa Kutumia Nafasi Tumepata Nyingi"

KOCHA SIMBA "OKWI KAGERE Wameshindwa Kutumia Nafasi Tumepata Nyingi" JOHN Bocco nahodha wa Simba leo amefunga bao lake la 15 kwenye ligi kuu Bara kwenye ushindi wa mabao 3-0 dhidi ya Mtibwa Sugar mchezo uliochezwa uwanja wa Uhuru akimalizia pasi ya Meddie Kagere dakika ya 33. Bao lake la leo linakamilisha jumla ya mabao 113 kwenye soka hali inayomfanya azidi kuwa mshambuliaji mwenye urafiki na nyavu kwa bongo. Mabao mengine ya Simba leo yamefungwa na mwamba wa Lusaka, Clatous Chama dakika ya 48 baada ya mabeki wa Mtibwa Sugar kujichanganya na bao la tatu limepachikwa na Emmanuel Okwi dakika ya 56. Ushindi huo unairejesha Simba kileleni kwa kuishuhsa Yanga ambayo ilikuwa kileleni baada ya kufikisha jumla ya pointi 83 huku Simba ikifikisha jumla ya pointi 85. Simba wanafikisha jumla ya pointi 84 wakiwa wamefunga jumla ya mabao 72 huku kinara wa upachikaji wa mabao akiwa ni Meddie Kagere mwenye mabao 20 kwa sasa ligi kuu Bara. Simba imebakiwa na michezo minne ili kukamilisha mzunguko wa pili msimu huu ambapo mpaka sasa wamebakiza pointi tano ili kuweza kutetea ubingwa wao. #KOCHASIMBASC https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho



Kuhusu Okwi, Chama Bocco na Kagere, Kocha wa Simba baada ya Kuwafunga Mtibwa Sugar
Kuhusu Okwi, Chama Bocco na Kagere, Kocha wa Simba baada ya Kuwafunga Mtibwa Sugar

#simbasc #mtibwasugar #tpl SUBSCRIBE HAPO JUU tembelea WEBSITE YETU https://bmtvtanzania.com/ INSTAGRAM https://www.instagram.com/bmtvtanzania FACEBOOK https://www.facebook.com/bmtvtanzania TWITTER https://twitter.com/bmtvtanzania1




« Previous Next »


Popular Tags

#Zlatan Ibrahimovi  #Counter Attack Goals Football  #Chris Paul  #Franck Ribery  #Kevin Durant  #Michael Jordan  #Shot Goals  #Neymar  #Kawhi Leonard  #Best Goalkeeper Saves  

Popular Users

#ATLHawks  #JJWatt  #_BAnderson30_  #UKCoachCalipari  #sportspickle  #ladygaga  #incarceratedbob  #KimKardashian  #RSherman_25  #NiallOfficial  #NASA  #TheEllenShow  #KingJames  #twitter  #neymarjr