SIMBA yamshitukia Refa Mpya wa Caf, rekodi zake Mbaya hizi hapaa..
SIMBA yamshitukia Refa Mpya wa Caf, rekodi zake Mbaya hizi hapaa..

#SimbaSC #TPMazembe #SoccerData Klabu ya Simba imelalama baada ya shirikisho la Soka Afrika Caf kufanya mabadiliko ya waamuzi katika mchezo wapili klabu bingwa Afrika kati yake na Tp Mazembe utakaopigwa April 13 mwaka huu. Sababu kuu zilizooanishwa ni sifa za refa huyo, sehemu anayotoka na mabadiliko ya haraka.. Toa maoni yako, je unahisi mabadiliko haya yataiathiri Simba.?



TOP 11: Wachezaji 11 wanaounda kikosi kimoja baada ya Mechi ya Simba vs Tp Mazembe.
TOP 11: Wachezaji 11 wanaounda kikosi kimoja baada ya Mechi ya Simba vs Tp Mazembe.

Simba imetoka sare dhidi ya TP Mazembe katika mechi ya kwanza katika uwanja wa Taifa DSM. SOCCERDATA inakuletea kikosi ya cha MUUNGANIKO baada ya Mechi kutokana na viwango walivyo vionyesha katika mechi hiyo ya kwanza.. Toa maoni yako juu ya kikosi hicho. Pili pendekeza nani awe kocha kati ya Pamphile Kazembe wa TP Mazembe na Patrick Aussems wa Simba. Lakini mfumo wa 4- 4 -2




« Previous


Popular Tags

#New York Knicks  #Zlatan Ibrahimovi  #Kawhi Leonard  #Counter Attack Goals Football  #Paul Pogba  #James Harden  #Michael Jordan  #Kobe Bryant  #Manuel Neuer  #David Silva  

Popular Users

#BellaTwins  #twitter  #BillGates  #Buster_ESPN  #Cristiano  #TheEllenShow  #realmadrid  #oldhossradbourn  #Oprah  #THNRyanKennedy  #AntDavis23  #baseballpro  #narendramodi  #JLo  #TheRock