Pour clôturer cette 18ème journée, le « H » et son peuple violet ont profité des rayons de soleil sur le parvis avant de vivre une ...
UCHAMBUZI WA YANGA SC VS RAYON SPORT/PENGO LA AUCHO BADO KUBWA/WACHEZAJI WANALINGA KIUWEZO.... Karibu uendelee kufuatilia Kariakoo Media kwa habari za Kimichezo na Burudani za ukweli na Uhakika. Pia unaweza kutufuatilia katika mitandao yetu ya kijamii facebook kama KARIAKOO MEDIA. Excited stories| sports & Entertainment updates The best content | chamber of News
uchambuzi crownfm, yanga(3-1)rayon ubora wa yanga asilimia 50 timu balaa,conte hamna shughuli #alikamwe #cloudsdigital #manaratv #mtanangetv #viral #efmtanzania #cloudsfm #ahmedally #jananaleo #soccer
Yanga SC imepata ushindi wa mabao 3-1 dhidi ya Rayon Sports, katika mchezo wa kirafiki uliopigwa kwenye Dimba la Amahoro, jijini Kigali, Rwanda. Mchezo huo uliokuwa hitimisho la Siku ya Rayon Sports #RayonSportsDay , umeshuhudia wenyeji wakitangulia kwa goli la kujifunga kupitia kwa Aziz Andambwile. Yanga walicharuka na kupiga mabao matatu kupitia kwa Andy Boyeli, Pacome Zouzoua, na Bakari Mwamnyeto.