USAJILI SIMBA WABADILIKA/ WAGENI WAWILI KUSAJILIWA/ BENCHIKHA ACHIMBA MKWARA!/ HATAKI HOBELA HOBELA!
USAJILI SIMBA WABADILIKA/ WAGENI WAWILI KUSAJILIWA/ BENCHIKHA ACHIMBA MKWARA!/ HATAKI HOBELA HOBELA!

“Kocha ameshatoa mapendekezo yake, lakini ni tofauti na wengi walivyokuwa wanafikiri kwani amesema apewe angalau wachezaji wawili wa kimataifa kwenye dirisha hili, lakini wawe ni wale ambao atawatumia kwenye Ligi ya Mabingwa Barani Afrika, yaani hataki asajiliwe mchezaji ambaye hatatumika kwa msimu huu. “Anasema tageti yake kubwa ni kufika kuanzia Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa na kuendelea, hivyo itakuwa haina maana kama atasajiliwa mchezaji ambaye tayari ametumika msimu huu,” kilisema chanzo hicho. Kwa mujibu wa kanuni za Shirikisho la Soka Barani Afrika ‘CAF’, mchezaji akiwa ameshatumika kwenye michuano ya CAF msimu huu akisajiliwa na klabu nyingine inayoshiriki michuano hiyo, basi hatakuwa na nafasi ya kutumika tena kwa msimu husika. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #usajilisimbasc #simbasc #ahmedally



Detroit Red Wings 2024 Goal Horn
Detroit Red Wings 2024 Goal Horn

The horn and song used by the Wings during the 2023/24 NHL season at Little Caesar's Arena. SONG: Eminem - Without Me ...



KIVUMBI MAKUNDI CAF: YANGA KUPANGWA NA WAARABU/ SIMBA YASUBIRI HUKUMU!/ ORODHA YAANIKWA/ OKTOBA 06
KIVUMBI MAKUNDI CAF: YANGA KUPANGWA NA WAARABU/ SIMBA YASUBIRI HUKUMU!/ ORODHA YAANIKWA/ OKTOBA 06

Jambo la muhimu katika upangaji wa makundi ya Ligi ya Mabingwa Barani Afrika ni kwamba timu zilizopo katika Chungu kimoja hazitapangwa kundi moja, bali kila timu kutoka kila chungu itakutana na timu nyingine kutoka kila chungu kutengeneza makundi manne tofauti. Shirikisho la soka Barani Afrika ‘CAF’ linasubiri Oktoba 06 ili kukamilisha mpango wa kupanga makundi ya Michuano ya ngazi ya vilabu iliyo chini ya shirikisho hilo kwa msimu huu 2023/24. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #yangasc #cafcl



SIMBA YATEGWA CAF!/ KIKOSI DYNAMOS CHASHTUA/ VIKAO VYAITISHWA/ KOCHA AHUSISHWA!/ MASHABIKI WAO WAJA!
SIMBA YATEGWA CAF!/ KIKOSI DYNAMOS CHASHTUA/ VIKAO VYAITISHWA/ KOCHA AHUSISHWA!/ MASHABIKI WAO WAJA!

Hivi sasa hatuwaangalii wapinzani wetu nini wanafanya, badala yake tunaelekeza nguvu zetu katika maandalizi ya kikosi chetu. Mabao mawili tuliyoyapata kule ugenini yatatusaidia hapa na wao yaliwaumiza lakini tunaporudi nyumbani hatutakiwi kuzubaa. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #simbasc #zambia #tanzania



BALEKE AZUA LA KUZUA SIMBA/ KIKAO KIZITO CHAITISHWA/ KOCHA AFUNGUKA/ AJITAFAKARI/ MANULA ATAJWA TENA
BALEKE AZUA LA KUZUA SIMBA/ KIKAO KIZITO CHAITISHWA/ KOCHA AFUNGUKA/ AJITAFAKARI/ MANULA ATAJWA TENA

Nataka kuona tunarekebisha makosa kwenye michezo ijayo ndio maana tunazungumza mara kwa mara kuwekana sawa -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #manula #baleke #simbasc



KOCHA SIMBA KUBADILI UTAWALA/ SAIDO HATARINI/ PHIRI, MIQUISSONE KUVAA MAGWANDA/ AFUNGUKA MFUMO MPYA!
KOCHA SIMBA KUBADILI UTAWALA/ SAIDO HATARINI/ PHIRI, MIQUISSONE KUVAA MAGWANDA/ AFUNGUKA MFUMO MPYA!

-- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #mosesphiri #miquissone #simbasc



YA MORRISON YAJIRUDIA YANGA/ GAMONDI ANG’AKA/ SKUDU, ZOUZOUA/ KOCHA ASEC/ MBONA BADO/ MTAONA MENGI
YA MORRISON YAJIRUDIA YANGA/ GAMONDI ANG’AKA/ SKUDU, ZOUZOUA/ KOCHA ASEC/ MBONA BADO/ MTAONA MENGI

Kocha Mkuu wa Mabingwa wa Soka Tanzania Bara Young Africans Miguel Angel Gamondi amesema kwa sasa Kiungo Mshambuliaji ‘Winga’ wake Mahlatsi Makudubela ‘Skudu’ hayupo kwenye mipango yake na amempa programu maalum kwa ajili ya kumuweka sawa kabla hajaanza kumtumia kwenye kikosi chake huku akisema hakuna mchezaji aliye juu ya timu. Skudu alijiunga na Young Africans kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Mallumo Gallant ya Afrika Kusini, ambapo tangu amejiunga na timu hiyo amefanikiwa kucheza mechi moja ya kimashindano kabla ya kuumia goti ambalo lilimpelekea arejee kwao Afrika Kusini kabla ya kurudi tena nchini juma lililopita. -- Dar24 ni chanzo namba moja cha habari kwa watanzania mahali popote walipo duniani. Kwa habari za uhakika kutoka nyanja mbali mbali. JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA DAR24 MEDIA: +255 679 979 786 ⚫️ Email: dar24newsroom@gmail.com ⚫️ Website: www.dar24.com ⚫️ Instagram: @Dar24news ⚫️ Facebook: @dar24 ⚫️ Twitter: @Dar24News #yangasc #asecmimosas #gamondi




« Previous Next »


Popular Tags

#Neymar  #Derrick Rose  #Best Goals  #Kawhi Leonard  #Kobe Bryant  #Sergio Aguero  #Michael Jordan  #Chicago Bulls  #Zlatan Ibrahimovi  #Shaquille O'Neal  

Popular Users

#RyanBabel  #SrBachchan  #normmacdonald  #DeAndre  #YouTube  #geniebouchard  #BizNasty2point0  #JLo  #ArianFoster  #SportsCenter  #Buccigross  #twitter  #NiallOfficial  #BrunoMars  #BarackObama