🛑#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA
🛑#LIVE:HAYA HAPA MAJEMBE MAPYA YA YANGA YAMSHUSHA FIGUREIDO,AZIZ KI,GUMEDE & WENGINE HAWA,WALIOACHWA

#Yangasc #Yangaleo #alikamwe #usajilimpyayanga #Enghersi Wachezaji wa Yanga Waliosajiliwa Leo 1. Justice Figuareido kutoka Chipa United South Africa raia wa Eswatin ,TAKWIMU ZA JUSTICE FIGUAREIDO | MSIMU WA 2025/26 🇸🇿 Nyota wa kimataifa wa Eswatini, Justice Figuareido, ambaye hucheza kama winga na pia mshambuliaji wa kati 🇿🇦 BETWAY PREMIERSHIP (Chippa United) ⚽ Mechi: 26 🥅 Magoli: 2 🎯 Asisti: 5 ⏱️ Dakika alizocheza: 1,858 🌍 FIFA World Cup Qualifiers (Eswatini) 🇸🇿 Mechi: 9 ⚽ Magoli: 3 2. Thulani Gumede winga huyu kutoka Richardbay ya Afrika kus Rasmi niko hapa kuthibitisha Young Africans SC 🇹🇿 ipo hatua za mwisho za kukamilisha usajili wa Winga Thulani Gumede mwenye umri wa miaka (25) raia wa Afrika Kusini 🇿🇦 kutoka Richards Bay FC kwaajili ya kuitumikia klabu hiyo kwa msimu ujao 2026-27. Thulani Gumede ni pendekezo la kocha mpya wa Klabu hiyo Manqoba Mngqithi, Hii ni mara baada ya kumkosa Winga Keletso Makgalwa aliyetimkia Simba SC kwa ushawishi mkubwa zaidi wa kocha Steve Barker, Gumede ana uwezo wa Kucheza Winga ya Kulia na Kushoto kwa ustadi mkubwa, Akiwa na Richards Bay amefunga Mabao (5) na Assists (5) katika Mechi (64). 3.Nasri Kombo Kutoka TRA United 4.Abdulnasir Asa Gamal Mlinzi/Winga Mashujaa 5.Azizi Ki 6. Mohamed Mussa mlinzi wa kati kutoka Mashujaa 7.Samba Kone Kutoka Muna FC ya Ivory Coast Mlinzi wa Kushoto 8.Juma Abushir Aka Messi wa Chuga kutoka Fountain Gate . Emmanuel Flomo 🔹Klabu ya wananchi Yanga imefikia makubaliano binafsi (personal terms) na winga hatari wa kulia wa Liberia na klabu ya Al Hilal Omdurman ya Sudan,Emmanuel Flomo (18). -Yanga wanajaribu utaratibu wa kuvunja mkataba wa mchezaji huyo katika klabu yake ya Al Hilal ya Sudan. -Flomo amefunga mabao 12 Msimu uliopita na kuibuka mchezaji chipukizi katika ligi ya Rwanda. Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy free agent 8. Farid Mussa free agent 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma 13. Emmanuel Mwanengo Mkopo ameenda Singida 14. Bakari Mwamnyeto mchezaji huru mkataba imeisha amepunguziwa mshahara na anasubiriw asaini 15. Shekhan Khamis Mkopo Singida BS Wachezaji wa Kigeni waliosalama Yanga Sc 1.🇲🇱 Djigui Diarra 2.🇨🇮 Yao Kouassi 3.🇰🇪 Duke Abuya 4.🇨🇩 Maxi Nzengeli 5. 🇦🇴 Laurindo Depu 6.🇺🇬 Allan Okello 7.🇨🇮 Pacome Zouzoua Kwa undani Zaidi tumekuwekea video nzima hapa MABENA TV Subscribe upate mengi Zaidi



🛑#LIVE YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI AZIZ KI, KOUTIAMA KOMBO NA WENGINE HAWA, YAACHANA NA HAWA WOTE 12
🛑#LIVE YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI AZIZ KI, KOUTIAMA KOMBO NA WENGINE HAWA, YAACHANA NA HAWA WOTE 12

#Yangasc #Tetesizausajili #UsajilimpyaYangasc Fagio la CHUMA limepita Bila huruma jangwani Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy 8. Farid Mussa 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma Wachezaji wanaosajiliwa Yanga 1. Yves Koutiama mshambuliaji wa Burkina Faso Na police Kenya magoli 11 mechi 17 ameingia dirisha Dogo 2. Juma Abushir AKA Messi wa Chuga Miaka 18 attacking midfield kutoka Fountain Gate alihitajika krc Genk ,yanga wametoa Milion 100 kuvunja mkataba na atalipwa mshahara wa Milion 5 Kila mwezi kutoka kulipwa Laki 6 3. Nasri Kombo beki kutoka TRA United deal done 4. Azizi Ki wanasubiri avunje mkataba na Al Ittihad 5.Samba Kone mrithi wa Shadrack Boka LB & CB assist 6 Miaka 23 ivory Coast Yanga wanamtaka mlinzi wa kushoto wa Mouna FC raia wa Ivory Coast 🇨🇮,Samba Koné (23) ✅Yanga wanamuona Kone kama mbadala sahihi wa Boka. ❌Kone anamaliza mkataba wake na Mouna FC,june 30 mwaka huu. Mchezaji huyo amewahi kupita Paradou FC ya Algeria 🇩🇿. Msimu huu Kone katoa assist (4) huku akitajwa kama beki bora wa kushoto kwenye ligi ya Ivory Coast. 6. Klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa nyota wa klabu ya Anzoategui FC (Academia Anzoategui) inayoshiriki Ligi daraja la pili nchini Venezuela (FUTVE 2) Guillermo Leon Marin Pino maarufu kwa jina la Memo mwenye umri wa miaka (24). Pino anaweza kucheza nafasi mbalimbali kama vile Winga wa kulia (RW), Winga wa kushoto (LW) na kiungo Mshambuliaji. Kabla ya kujiunga na Anzoategui mnamo mwaka 2023 alikuwa anaitumikia klabu ya Deportivo La Guaira. Akiwa na Anzoategui msimu huu Pino amefanikiwa kuhusika kwenye mabao (5) baada ya kufunga mabao (3) na kutoa assisti (2) akicheza dakika (876) kwenye michezo (13). 7. Mosi Nduwumwe huyu ndiye top score ligi kuu Mechi 15 magoli 17 na ndiye mrithi wa Prince Dube,ni raia WA Burundi Miaka 25 8. Idd Nado kutoka Azam FC Kocha wanaotajwa Kwa sasa Chavalier wa aasec mimosas ya ivory Coast na fadlu davids wa Raja 🟢🟡 HII HAPA LIST YA WACHEZAJI WA KIGENI WA YANGA SC 🔰 1.🇲🇱 Djigui Diarra 2.🇨🇮 Yao Kouassi 3.🇨🇩 Chadrack Boka 4.🇧🇪 Frank Assink 5.🇬🇳 Balla Conté 6.🇰🇪 Duke Abuya 7.🇨🇩 Maxi Nzengeli 8.🇲🇱 Mohamed Doumbia 9.🇦🇴 Laurindo Depu 10.🇺🇬 Allan Okello 11.🇨🇮 Pacome Zouzoua 12.🇬🇲 Buba Jammeh 13.🇧🇪 Lassine Kouma 14.🇧🇪 Célestin Ecua



YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI MPYA NI BALAA AZIZI KI,GUILLERMO MZUNGU NDANI,YAACHANA NA WACHEZAJI HAWA
YANGA YASHUSHA MASHINE HIZI MPYA NI BALAA AZIZI KI,GUILLERMO MZUNGU NDANI,YAACHANA NA WACHEZAJI HAWA

#Yangasc #Tetesizausajilimpya #WachezajiwapyaYangasc #alikamwe #hansrafael #Uchambuziwamichezo #mchomemapovu #Enghersisaidi Fagio la CHUMA limepita Bila huruma jangwani Wachezaji wanaotemwa Yanga 1. Prince Dube amejiunga na hard rock ya Zimbabwe kwao 2. Mohamed Damaro 3. Frank Assink 4. Bubah Jammeh 5. Mohamed Doumbia 6. Balla Conte 7. Abubakari Salum sure boy 8. Farid Mussa 9. Celestine Ecua 10. Israel Mwenda amerejea Singida BS 11. Shadrack Boka anaondoka mrithi wake nitakutajia Kone 12. Lassine kouma Wachezaji wanaosajiliwa Yanga 1. Yves Koutiama mshambuliaji wa Burkina Faso Na police Kenya magoli 11 mechi 17 ameingia dirisha Dogo 2. Azizi Ki 3. Nasri Kombo beki kutoka TRA United. 4.Samba Kone mrithi wa Shadrack Boka LB & CB assist 6 Miaka 23 ivory Coast Yanga wanamtaka mlinzi wa kushoto wa Mouna FC raia wa Ivory Coast 🇨🇮,Samba Koné (23) ✅Yanga wanamuona Kone kama mbadala sahihi wa Boka. ❌Kone anamaliza mkataba wake na Mouna FC,june 30 mwaka huu. Mchezaji huyo amewahi kupita Paradou FC ya Algeria 🇩🇿. Msimu huu Kone katoa assist (4) huku akitajwa kama beki bora wa kushoto kwenye ligi ya Ivory Coast. 5. 🚨Taarifa za usajili zinaeleza kuwa klabu ya Yanga ipo kwenye hatua za mwisho kukamilisha usajili wa nyota wa klabu ya Anzoategui FC (Academia Anzoategui) inayoshiriki Ligi daraja la pili nchini Venezuela (FUTVE 2) Guillermo Leon Marin Pino maarufu kwa jina la Memo mwenye umri wa miaka (24). Pino anaweza kucheza nafasi mbalimbali kama vile Winga wa kulia (RW), Winga wa kushoto (LW) na kiungo Mshambuliaji. Kabla ya kujiunga na Anzoategui mnamo mwaka 2023 alikuwa anaitumikia klabu ya Deportivo La Guaira. Akiwa na Anzoategui msimu huu Pino amefanikiwa kuhusika kwenye mabao (5) baada ya kufunga mabao (3) na kutoa assisti (2) akicheza dakika (876) kwenye michezo (13). 6. Mosi Nduwumwe huyu ndiye top score ligi kuu Mechi 15 magoli 17 na ndiye mrithi wa Prince Dube,ni raia WA Burundi Miaka 25 Kocha wanaotajwa Kwa sasa Chavalier wa aasec mimosas ya ivory Coast na fadlu davids wa Raja



Manchester City vs Chelsea | 2016/2017 English Premier League
Manchester City vs Chelsea | 2016/2017 English Premier League

A Premier League classic filled with goals, tactical genius, and absolute chaos at the end! 🍿 In the 2016/2017 season, Chelsea traveled to the Etihad and showed exactly why they became champions that year. The narrative of this match was insane! 📈 ⚽ 45' - Gary Cahill scores an unfortunate OWN GOAL to put Man City ahead just before the break! ⚽ 60' - Diego Costa bullies the defense and fires home the equalizer! ⚽ 70' - Willian finishes off a lethal counter-attack to turn the game around! ⚽ 90' - Eden Hazard seals the 3-1 win with his electric pace! 🟥 90'+6' & 90'+7' - Tempers boil over in stoppage time as Sergio Agüero and Fernandinho both see straight RED cards! 🤫 One of the most intense battles between Pep and Conte. What a match! 🥶👇 #ManchesterCity #Chelsea #PremierLeague #EPL #DiegoCosta #EdenHazard #Aguero #PepGuardiola #AntonioConte #ClassicFootball #FootballShorts #MCFC #CFC #ClassicMatch



AM JUCAT FOTBAL CU ZLATAN IBRAHIMOVIC ȘI NE-AM ÎMPRIETENIT!!
AM JUCAT FOTBAL CU ZLATAN IBRAHIMOVIC ȘI NE-AM ÎMPRIETENIT!!

Instalează-ți si tu aplicatia XTB si foloseste codul "TUDOR" pentru a-ti deschide un cont și primești un curs gratuit de investiții: https://geolink.xtb.com/IUwDs *Avertisment: Investițiile sunt riscante și pot genera pierderi. Investește responsabil.* Instagram: https://instagram.com/tudorwyz Site Tudor Butan: www.tudorbutan.ro Editor: @robert.alexoaie



Mourinho a REAL MADRIDHOZ VINNÉ Olisét?? KIGÚNYOLTÁK a Barcelonát! CSODA a Serie A-ban!
Mourinho a REAL MADRIDHOZ VINNÉ Olisét?? KIGÚNYOLTÁK a Barcelonát! CSODA a Serie A-ban!

Tiki-Taka TV – friss focihírek a Youtube-on! 🎥 Ha helyszíni felvételt szeretnél küldeni nekünk, akkor ehhez (a videók minőségének a megőrzésének a céljából) használd a Google Drive-ot vagy a www.filemail.com/hu oldalt - ez esetben pedig a letöltő linket küldd el nekünk az info@tikitakatv.hu email címre. Rossz minőségű felvételeket sajnos nem áll módunkban felhasználni az összeállításainkban. 📧 Elérhetőségünk: info@tikitakatv.hu vagy mikebalazs@tikitakatv.hu 🌍 Médiaajánlat/Statisztikai adatok hirdetők számára: https://tikitakatv.hu 📸 Instagram: https://instagram.com/magyartikitaka.tv/ 📘 Facebook: https://www.facebook.com/magyartikitaka/ 🎵 TikTok: https://www.tiktok.com/@tikitakatv.yt/ ⭐ Csatlakozz a Tiki-Taka klubhoz: https://www.youtube.com/channel/UC15B8OwOLFfGZpUdWCiiecQ/join 🧾 A mai tartalom: 0:00 👉 Intro 0:30 👉 Új tagok köszöntése 0:38 👉 Hivatalos: Guardiola távozik a Manchester Citytől 2:12 👉 A Chelsea-től érkezik a Maresca-éra első sztárigazolása a ManCity-hez? 3:38 👉 Michael Carrick marad a Manchester United edzője 4:28 👉 Ezért távozhatott Robbie Keane a Fradi éléről 5:24 👉 LaLiga: Így búcsúzott Dani Carvajal és David Alaba a Real Madrid szurkolóitól; Lewandowski góllal tette emlékezetessé a búcsúját, Kiesett a Girona 8:28 👉 Serie A: Conte távozik a Napolitól; Fabregas csodát tett a Comóval; Edző- és vezetőségváltás jöhet a Milannál 11:04 👉 Premier League: Bruno Fernandes rekorddöntése; Guardiola vereséggel búcsúzott a ManCity-től, Salah könnyes búcsúja az Anfielden; Hatalmas Chelsea-blama 14:27 👉 Francia kupa-döntő: A Lens történelmi sikere 15:03 👉 Német kupa-döntő: Harry Kane volt a Bayern München nyerőembere 15:36 👉 Mourinho Michael Olisét figyelte? + A Bayern legendás alakja a Barcelonán gúnyolódott 16:54 👉 Outro 🎙️ Narrátor: Bálint László 👉 https://balintlaszlo.pro/ 🎵 A videóban hallható zene az EpidemicSound-ról származik. ℹ️ A videó tájékoztató és elemző célból készült. Egyes grafikai és videós elemek licencelt forrásokból (pl. Envato) származnak. A felhasznált külső anyagok forrásait a videóban feltüntettük. This video was created for informational and analytical purposes. Some graphic and video elements are sourced from licensed resources (e.g. Envato). Sources of externally used materials are credited within the video. #focihírek #tikitakatv #foci #hírek #friss Tiki-Taka TV – mindennap friss focihírek a Youtube-on!



🚨 BOMBA! PEP GONE! NEXT CITY MANAGER! CONTE SURPRISE, LUIS ENRIQUE SECRET, ARTETA SIGNS…
🚨 BOMBA! PEP GONE! NEXT CITY MANAGER! CONTE SURPRISE, LUIS ENRIQUE SECRET, ARTETA SIGNS…

👋🏼 Hello guys, this is Fabrizio Romano, and welcome to a new YouTube video. 📰 Latest Fabrizio Romano updates on Pep Guardiola leaving Manchester City, Enzo Maresca, Antonio Conte and Luis Enrique. Big manager news involving Arsenal, Napoli, Chelsea, PSG and Liverpool. Find full details in this video! Don't forget to subscribe and like this video, also leave your comment below. HERE WE GO! __ 📱 https://twitter.com/FabrizioRomano 📱 https://www.instagram.com/fabriziorom 📱 https://discord.gg/mPtA495zHW __ TIMESTAMPS 00:00 – Intro 00:23 – Jose Mourinho | Real Madrid 00:54 – Pep Guardiola 01:25 – Enzo Maresca 03:44 – Xabi Alonso | Chelsea 03:52 – Antonio Conte | Napoli 04:39 – Italy national team | Antonio Conte 05:11 – Maurizio Sarri | Napoli 05:25 – Luis Enrique | PSG 06:20 – Mikel Arteta | Arsenal 07:30 – Liverpool | End of season review 07:58 – Outro



サボり部員が記憶を無くしたと言い始めた結果www【あめんぼぷらす】【解放切り抜き】#shorts
サボり部員が記憶を無くしたと言い始めた結果www【あめんぼぷらす】【解放切り抜き】#shorts

#あめんぼぷらす #コメディ#野球部 #監督 #ルーティン #shorts ▼元動画です! 練習サボってプール行ったら監督が流れてきた日のモーニングルーティン。 https://youtu.be/5pZ9tirMbB0?feature=shared ◎あめんぼぷらす様のメインチャンネル https://www.youtube.com/@amenboplus ◎サブチャンネル https://www.youtube.com/@amenboplus-alpha 〜本家 出演〜 主演・しょーた役 あめんぼぷらす しょーた https://instagram.com/syotadayo_n 監督役(兼脚本担当) あめんぼぷらす おまつ https://instagram.com/omatsuyade_n ◎本家のSNS ・Twitter https://twitter.com/amenboplus ・Instagram http://www.instagram.com/amenboplus (共同アカウントのプロフィールから個人アカウントに飛べます。) 音楽素材:http://musmus.main.jp/music_movie.html    :https://maoudamashii.jokersounds.com    :https://soundeffect-lab.info/    :http://shw.in/sozai/    :http://conte-de-fees.com/category/voc...    :http://dova-s.jp/    :http://www.music-note.jp/bgm/nature.html    :http://amachamusic.chagasi.com/image_...    :https://www.irasutoya.com/p/figure.html    :https://otologic.jp/free/se/negative0...    :http://動画素材.com/movie55fuwafuwa.html




Next »


Popular Tags

#Kawhi Leonard  #Los Angeles Lakers  #Chris Paul  #Franck Ribery  #Best Goals Ever  #Goalkeeper Saves  #Kawhi Leonard  #Sergio Aguero  #Gareth Bale  #Zlatan Ibrahimovi  

Popular Users

#PMOIndia  #cesc4official  #LarryFitzgerald  #MileyCyrus  #RobGronkowski  #BringerOfRain20  #Oprah  #neymarjr  #THNRyanKennedy  #akshaykumar  #TheCUTCH22  #twitter  #UKCoachCalipari  #alexmorgan13  #LAKings