SIMBA vs AL ALHY: Shangwe la Mashabiki wa Simba Uwanjani NI patashika nguo kuchanika leo katika uwanja wa taifa jijini Dar ambapo Mtanange kati ya Simba SC na Waarabu Al Ahly unachezwa tena kwa mara ya pili. Ikumbukwe kwamba mtanange huu umeshawahi kuchezwa nchini Misri na Simba wakapokea kichapo cha 5-0. MASHABIKI wa Simba wameendelea kujipa moyo wa kupata matokeo mazuri ya mechi yao ya pili dhidi ya Al Ahly baada ya mechi ya kwanza kufungwa magoli 5-0. #SIMBAVSALAHLY https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho