MICHEZO Magazetini leo Jumamosi 14/7/2018:Azam yaichapa Simba fainali
MICHEZO Magazetini leo Jumamosi tarehe 14/7/2018 yametawaliwa na habari kubwa ya Azamfc kuibuka bingwa kagame cup kwa kuinyuka Simba 2-1 pia leo ni harakati za Ubelgiji na Uingereza kumsaka mshindi wa tatu wa kombe la dunia huko Urussi