HII NDIO KAULI YA ADEN RAGE|BAADA YA MANARA KUHAMIA YANGA|"YEYE SIO LOLOTE" Mwenyekiti wa zamani wa Simba SC, Ismail Aden Rage amesema @HajiManara hakuwa kiongozi ndani ya timu hiyo na badala yake alikuwa ni mwajiriwa na mpiga porojo hivyo hajachukia kuondoka kwake kwa sababu kwa kazi yake anaruhusiwa kwenda timu yeyote huku akimuonya kutoikashifu Simba.