Content removal request!


AZAM FC U-20 OFF TO DODOMA | Uhai Cup U-20 2018 | June 7, 2018

KIKOSI cha timu ya vijana ya Klabu Bingwa ya Afrika Mashariki na Kati Azam FC, Azam FC U-20, kimeondoka jijini Dar es Salaam leo Alhamisi asubuhi kuelekea mkoani Dodoma tayari kushiriki michuano ya Ligi ya Vijana (Uhai Cup U-20) kwa timu za vijana za klabu zinazoshiriki Ligi Kuu.