Content removal request!


Kikosi cha simba vs Ndandafc hiki hapa

VPL inaendelea Leo Jumamosi 30/12/2017 ambapo Simba ipo ugenini mkoani Mtwara ikikwaana na wenyeji wao Ndanda fc, ambapo Simba inapambana kurejea kileleni mwa msimamo wa vpl baada ya kuenguliwa na Azam fc