Content removal request!


Simba Yakumbana Kipigo cha Aibu Misri, Yapigwa 5-0

Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars SIMBA usiku wa kuamkia leo, imepoteza mchezo wa pili ugenini nchini Misri, kwenye hatua ya Makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Simba ilikumbana na kipigo cha mabao 5-0 kipindi cha kwanza dhidi ya Ahly kwenye mjini Alexandria mbele ya mashabiki 10,000 waliokuwa wakishangilia kwa kelele za hali ya juu mwanzo mwisho. Subscribes:https://www.youtube.com/c/KidaniStars Instagram: https://www.instagram.com/kidanistars/ Facebook: https://www.instagram.com/kidanistars/ Twitter: https://twitter.com/kidanistars