Content removal request!


Mafahali wa Kariakoo

Joto linazidi kupanda nchini Tanzania kuhusu pambano maarufu la soka la watani wa jadi, Yanga na Simba lililopangwa kufanyika Juni 15 jijini Dar es Salaam. - Mamlaka za soka zinasisitiza pambano kufanyika huku Yanga ikisema haichezi, ikipinga inachokiita mchezo wa awali wa Machi 8 kuaihirishwa kiholela. - Sasa tuangalie badhi ya maamuzi magumu yaliyowahi kufikiwa kuhusu Yanga ama Simba ndani ya miaka 20 - - - 📸@simbascofficial 📸@Young Africans Sports Club #bbcswahili #michezo #soka#simba#mpira #yanga Subscribe kupata video motomoto kila siku kutoka BBC Idhaa ya Kiswahili https://www.youtube.com/channel/UCoerKKIKIMlDYaVFSTlsWGw