TAIFA STARS Vs UGANDA - Hali Ilivyo Uwanjani Waswahili husema leo ndio leo asemaye kesho muongo, na kauli hioyo inajithibitisha yenyewe leo Machi 24, siku ambayo Watanzania walikuwa wakiisubiri kwa hamu ili kuushushudia mchezo kati ya Timu ya Taifa ya Tanzania dhidi ya Timu ya taifa ya Uganda (Taifa Stars Vs Uganda)... Mchezo huo utachezwa masaa machache yajayo katika dimba la uwanja wa taifa jijini Dar, ambapo Taifa Stars wanawania kufuzu katika mashindano ya ligi ya mabingwa wa Afrika (AFCON).... Global TV imefika mapema katika uwanja wa Taifa na kukuletea hali ilivyo kwa sasa ... #TaifaStarsVsUganda https://www.youtube.com/watch?v=N1X-f... Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter: www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho