Content removal request!


KCB FC on New season

Kocha wa timu ya KCB Jacob 'Odijo' Otieno anaimani kuwa wachezaji wapya aliosajili pamoja na wale waliorejea kama vile jacob keli na Ezekiel Odera waiwezesha timu hiyo kumaliza katika safu ya tatu bora.mwanahabari Victor Ogalle anatuarifu zaidi.