Content removal request!


MAGOLI YOTE YA SIMBA 5 - 0 MBAO

Magoli yote ya Simba Sc dhidi ya Mbao Fc katika mchezo wa ligi kuu ya Vodacom Tanzania bara..Magoli ya Simba yamefungwa na Shiza Kichuya, Emmanuel Okwi (2), Erasto Nyoni na Nicholas Gyan.