Content removal request!


VIKOSI VYA MAANGAMIZI SIMBA VS JS SAOURA

VIKOSI VYA MAANGAMIZI SIMBA VS JS SAOURA Kikosi cha Klabu ya Simba SC na Kikosi cha Waarabu wa JS Saoura kutoka Algeria wakiingia uwanjani tayari kwa kuumana huku kila kikosi kikionekana kumpania mwenzake. Mtanange kati ya vikosi hivyo viwili umechezwa katika uwanja wa Taifa jijini Dar na kushuhudiwa na Viongozi mbalimbali wa serikali akiwemo Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa, Waziri wa Michezo, Dkt harrison Mwakyembe, Naibu Spika wa Bunge, Dkt Tulia Ackson. #SIMBAVsJSSOURA Watch More Videos here: https://goo.gl/GvVdZw Watch More Videos here: https://goo.gl/ae33fL Website: www.globalpublishers.co.tz FaceBook: www.facebook.com/globalpublishers Instagram: www.instagram.com/globalpublishers Twitter www.twitter.com/GlobalHabari Install Global App: ANDROID: https://goo.gl/QvT6RV Install Global App: iOS: https://goo.gl/2jDyho USIKUBALI KUPITWA NA HII, BONYEZA LINK https://www.youtube.com/watch?v=L4UGw. Jiunge na Familia ya Global TV Upande Mtandao wa Mafanikio Bofya hapa kujiunga na familia ya Global TV Club https://goo.gl/mkvuoB