Content removal request!


Alichokisema Kocha wa Coastal Kupigwa 8-1 na SIMBA

SIMBA SC imepanda kileleni mwa Ligi Kuu ya Tanzania Bara baada ya ushindi wa kibabe wa mabao 8-1 dhidi ya Coastal Union jioni ya leo Uwanja wa Uhuru mjini Dar es Salaam. #SIMBASC vs #COASTALUNION