Content removal request!


Kocha Wa Ruvu Shooting Ataka Kulia Kufungwa Bao 3-0 dhidi Ya Simba!

SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/c/KidaniStars Ligi kuu Tanzania bara imeendelea kwa michezo kadhaa iliyochezwa viwanja tofauti lakini jicho lilikuwa uwanja wa Uhuru kushuhudia mchezo kati ya Ruvu Shooting dhidi ya Simba ambao umemalizika na kuishuhudia simba ikiiadhibu Ruvu Shooting kwa magoli 3-0 na kuendelea kujikita kileleni mwa msimamo wa ligi. SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/c/KidaniStars Magoli ya Simba yamefungwa na John Bocco ambaye amefungaagoli mawili dakika ya 22 na 75, Mzamiru Yassin alifunga goli moja dakika ya 66. SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/c/KidaniStars SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/c/KidaniStars SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/c/KidaniStars SUBSCRIBE: https://www.youtube.com/c/KidaniStars