Content removal request!


KOCHA, WACHEZAJI TANZANIA Wafunguka KUKOSA Nafasi ya Tatu CECAFA

KOCHA, WACHEZAJI TANZANIA Wafunguka KUKOSA Nafasi ya Tatu CECAFA Timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ leo Desemba 19, 2019 imefungwa goli 2-1 na timu Taifa ya Kenya katika mchezo wa kutafuta Mshindi wa tatu katika mashindano ya Chalenji nchini Uganda na kutoka mikono mitupu. Katika mchezo huo ulioanza saa 7:00 mchana, Kenya walitumia vyema makosa binafsi ya wachezaji wa Stars, kuweza kupachika mabao hayo. YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li