KOCHA, WACHEZAJI TANZANIA Wafunguka KUKOSA Nafasi ya Tatu CECAFA Timu ya Taifa ya Tanzania Bara ‘Kilimanjaro Stars’ leo Desemba 19, 2019 imefungwa goli 2-1 na timu Taifa ya Kenya katika mchezo wa kutafuta Mshindi wa tatu katika mashindano ya Chalenji nchini Uganda na kutoka mikono mitupu. Katika mchezo huo ulioanza saa 7:00 mchana, Kenya walitumia vyema makosa binafsi ya wachezaji wa Stars, kuweza kupachika mabao hayo. YALIYOMO GLOBAL TV ONLINE (+255 657 955825 au +255 784 888982) HABARI MPYA DAILY: https://www.youtube.com/playlist?list... HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: https://www.youtube.com/playlist?list... GLOBAL RADIO TV: https://www.youtube.com/playlist?list... EXCLUSIVE INTERVIEW: https://www.youtube.com/playlist?li