Content removal request!


NDANDA FC YAIMARISHA KIKOSI IKIIKABILI SIMBA

Kuelekea katika mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania Bara dhidi ya Simba SC, klabu ya Ndanda FC ya mkoani Mtwara, imetangaza usajili wa wachezaji Watatu waliongezwa kikosini katika dirisha dogo