Content removal request!


Mzungu apagawishwa na Azam FC na kujiunga na mashabiki kushangilia ushindi

Mzungu apagawishwa na Azam FC na akijiunga na mashabiki wa timu hiyo mara baada ya ushindi dhidi ya Alliance (1-0) juzi. Shuhudia uhondo kamili kwa kuangalia video hii.