Content removal request!


KIPA NAMBA MOJA WA BIASHARA UNITED ASAINIWA NA YANGA

Kipa namba moja Nouridine Balora ambaye amekuwa akituhumiwa kukosa nidhamu ndani ya kikosi cha Biashara ya mkoani Mara anaelekea kwa wanajangwani Yanga Sc Club Kocha Amri Said amesema.