Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1 KWA Sasa majina ya Shiza Kichuya wa Simba na Ibrahim Ajibu wa Yanga ndiyo yanayokimbiza kutokana na kazi yao wanayoifanya wakiwa uwanjani . Kwa Nyakati tofauti washambualiaji hao ambao walicheza pamoja na simba msimu uliopita wamefunga mabao matano. Kila mmoja ameisaidia timu yake mwejye mechi zake tofauti wote wameshacheza mechi tisa hadi sasa ambapo mabao hayo wameyafunga kwenye viwanja vya Dar na vile vya mkoani . Ajibu yeye amefunga mbele ya Njombe Mji (Njombe) ,Ndanda Dar Kagera Sugar na Stand United (Kagera) na Stand United Shinyanga akifunga mara mbili . Kwa Kichuya amefikisha mabao matano kwenye mechi dhidi ya Ruvu Shooting (Dar), Mbeya City (Mbeya) ,Kwenye kila Mechi amabzo wamefunga timu zao zilizoondoka na pointi tatu au moja. FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari Visit https://globalpublishers.co.tz/, Subscribe http://www.youtube.com/c/uwazi1 Kupata video nyingine za aina hii, subscribe kwenye chanell yetu kwa kubofya… http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 http://www.youtube.com/c/uwazi1 WEBSITE: https://globalpublishers.co.tz/ FACEBOOK: https://www.facebook.com/Globalpublis... TWITTER: https://twitter.com/GlobalHabari INSTAGRAM: https://www.instagram.com/globalpubli...