Content removal request!


AZAM FC 0-0 SIMBA SC SEPT 9, 2017

Nahodha wa zamani wa Azam FC, John Bocco akiongozana na wenzake wawili waliohama Azam FC na kujiunga na Simba, Aishi Manula na Erasto Nyoni(Shomary Kapombe hakucheza) wakirejerea Chamazini kwa mara ya kwanza baada ya kuondoka mwishoni mwa msimu wa 2016/17. Kocha wao, Joseph Marus Omog pia alikuwepo Azam FC