AZAM FC WALIA NA REFA GOLI LA MIQUISSONE WADAI LINA UTATA, NYONI ASIFIA SIMBA TULIKUWA MAKINI
Simba SC Leo imeibuka na ushindi wa goli 1-0 dhidi ya Azam FC katika mchezo wa nusu fainali ya Kombe la Azam Sports Federation Cup, goli la Simba SC lilifungwa na Bernard Morisson.