Please watch: "MAGOLI YOTE YA SIMBA 5 - 0 MBAO" https://www.youtube.com/watch?v=lU7L3hP4BP0 --~-- Kutoka uwanja wa Taifa jijini Dar es salaam, wekundu wa Msimbazi, Simba Sc imeendelea kutopoteza mchezo wowote katika ligi kuu ya Vodacom baada ya kuzamisha MajiMaji fc ya Songea kwa magoli 4-0. Magoli ya Simba yakifungwa na John Bocco, Emmanuel Okwi na Shiza Kichuya. Endelea kufuatilia ShutikaliTv usipitwe na habari mpya za michezo kila zinapojiri. https://www.youtube.com/channel/UC5fuHg4PI1GAn_U4S5cAOjQ?view_as=subscriber https://www.youtube.com/channel/UC5fuHg4PI1GAn_U4S5cAOjQ?view_as=subscriber https://www.youtube.com/channel/UC5fuHg4PI1GAn_U4S5cAOjQ?view_as=subscriber https://www.youtube.com/channel/UC5fuHg4PI1GAn_U4S5cAOjQ?view_as=subscriber